BCIC MAJI MEUPE

Hakuna Lisilowezekana Kwa Mungu

Luka 1:37

Ungana nasi upate kuona nguvu ya Mungu katika maisha yako.

Tunaamini

Mungu anaweza kufanya yote.

Kauli Mbiu

Hakuna lisilowezekana kwa Mungu.

Lengo

Kusambaza neno la Mungu duniani.

Sisi Ni Nani

BCIC Maji Meupe (Biblical Counselling and Intercession centre) ni kanisa lililo chini ya Wapo Mission International linalotoa maombi na ushauri wa kibiblia ili kuleta mabadiliko kwenye jamii. Shirika letu limesajiliwa nchini Tanzania na linatambulika na vyombo vya dola na mashirika mbalimbali. Pia linaendesha vyombo mbalimbali vya habari ikiwemo Wapo Radio FM 98.1, Wapo TV, gazeti msemakweli na shule Shalom Pre and Primary School.
Kanisa la BCIC maji meupe limejikita kuwahudumia watu kutatua matatizo ya kiuchumi, kiafya, kifamilia, kiroho na kijamii kwa misingi ya neno la Mungu (Bibilia).

Wachungaji Wetu

Tuna Jopo la Wachungaji waliojazwa Roho Mtakatifu na wako tayari kukutumikia

Askofu Michael Peter Imani

Kiongozi

Mchungaji Piason Ndala

Mchungaji Msaidizi

Mchungaji Habela Mugisha

Mchungaji Mlezi

Watenda Kazi

Esther Mputa

Katibu

Oliver Mwansasu

Mweka Hazina

Matukio Yajayo

Madarasa Ya Wokovu

Mkesha Kanisani

Mikutano ya Vijana

Ibada Zetu

IBADA YA KINGEREZA

Pia ni Ibada ya Vijana na Wanachuo

IBADA KUU

Maombi, Kusifu na Kuabudu

IBADA KATIKATI YA WIKI

Maombi, Kusifu na Kuabudu

Mahubiri Yetu

Jamii Na Mengineyo

Wasiliana Nasi

Kwa maswali na taarifa zaidi, wasiliana nasi kupitia;